December 19, 2020

 


LEO Desemba 19 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kwa timu nne kushuka uwanjani kusaka pointi tatu muhimu.


Gwambina FC iliyo nafasi ya 14 na pointi 17 v Prisons iliyo nafasi ya 9 na pointi 20 itapigwa, Uwanja wa Gwambina Complex. 


Ihefu FC iliyo nafasi ya 18 na pointi 10 v KMC iliyo nafasi ya 7 na pointi 21, Uwanja wa Sokoine. 


Mtibwa Sugar iliyo nafasi ya 11 na pointi 19 v JKT Tanzania iliyo nafasi ya 15 na pointi 14, Jamhuri,Morogoro. 


Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 37 v Dodoma Jiji iliyo nafasi ya 10 na pointi19, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic