KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA AL HILAL YA SUDAN HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza leo Januari 27 dhidi ya Al Hilal mchezo wa mashindano ya Simba Super Cup, Uwanja wa Mkapa.Mchezo wa leo ni wa kwanza kwa Kocha Mkuu, Didier Gomes raia wa Ufaransa ambaye amerithi mikoba ya Sven Vandenbroeck.Kiungo mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison ameanzia benchi kwenye mchezo wa leo.
Kikosi Safi Ila Lwanga!labda Kama amaimprove
ReplyDeleteMmeanza
Deleteumeona hilo mdau kumbe!
Delete