January 27, 2021

 KIKOSI cha TP Mazembe kutoka Congo tayari kimewasili ndani ya ardhi ya Bongo kwa ajili ya kushiriki Simba Super Cup.



TP Mazembe ni miongoni mwa timu tatu ambazo zitashiriki mashindano ya Simba Super Cup ambayo yanaanza kufanyika Leo Januari 27, Uwanja wa Mkapa. 


Timu nyingine ambazo zinashiriki ni pamoja na Al Hilal ya Sudan ambayo itaanza kucheza leo Januari 27 na wenyeji Simba, Uwanja wa Mkapa.


TP Mazembe itamenyana na Al Hilal Januari 29 na itakutana na Simba Januari 31 na mechi zote zitachezwa saa 11:00 jioni.

2 COMMENTS:

  1. Yes this is Simba SC and we need to show them what we have in order to build our target as well, INSHALLAHđź‘‹

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic