March 10, 2021

 




UWANJA wa Mkapa
FT: Simba 1-1 Prisons 

Dakika ya 90+5 Luis Miquissone anafunga goaal na kuwafanya wagawane pointi mojamoja leo na Prisons ambao walitangulia kupachika bao la kuongoza.

Zimeongezwa dakika 5
Dakika 90 zimekamilika 
Dakika ya 85 Luis anafanya jaribio linaokolewa na Kisubi
Dakika ya 82, Mdoe anaonyeshwa kadi ya njano 
Dakika ya 81 Prisons wanaanua majalo na kuanza safari kwa Manula
Dakika ya 74, Kisubi anaokoa hatari mbili langoni mwake
Dakika ya 73 Prisons wanapeleka mashambulizi kwa Manula
Dakika ya 72 Luis anapiga nje ya lango
Dakika ya 68, Prisons wameweka ukuta chuma
Dakika ya 66 Morrison anaingia anatoka Bwalya
Dakika ya 63 Mugalu anafunga mwamuzi anasema ameotea
Dakika ya 60 Nyota wa Prisons anapewa huduma ya Kwanza 
Dakika ya 57, Chikwende anatoka anaingia Chama
Dakika ya 55 Kimenya Gooool
Dakika ya 54 Prisons wanapata faulo nje kidogo ya 18 baada ya Wawa kucheza faulo
Dakika  ya 53 Kisubi anaonyeshwa kadi ya njano pamoja na daktari wa Prisons 
Dakika ya 51 Kisubi anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 48 Kisubi anaanzisha mashambulizi 
Dakika ya 45 Bocco ndani Mzamiru nje

Kipindi cha pili 

Simba 0-0 Tanzania Prisons

Mapumziko,  Uwanja wa Mkapa 

Dakika 45 zinaongezwa dk 3

Dakika ya 43, Jumanne Elifadhil anaonyeshwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Mzamiru Yassin 

Dakika ya 36 Luis anapiga kona ya pili haileti matunda kwa Simba baada ya Mugalu kupiga kichwa off target 

Dakika ya 34  Nurdin Chona anatoka anaingia Dotto kwa Prisons 

Dakika ya 32 mchezaji wa Prisons anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 28, Mugalu anakosa penalti 

Dakika ya 27 mwamuzi anatoa penalti kwa Simba

Dakika ya 25 Mugalu anachezewa faulo 

Dakika ya 24 Manula anaanzisha mashambulizi 

Dakika ya 20 Tshabalala anachezewa faulo na Jeremiah Juma

Dakika ya 18 Luis anapiga shuti linakwenda nje ya lango

Dakika 15 zinakamilika kwa timu zote kuwa sawa bila kufungana. Ni mpira wa nguvu nyingi na akili nyingi uwanjani

Dakika ya 14 Mzamiru anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 12 Jeremiah Juma anafanya jaribio nzuri akiwa nje ya 18 linaokolewa na Manula

Dakika ya 10 Prisons wanapeleka mashambulizi Simba 

Dakika ya 9 Mkude anacheza faulo

Dakika ya 6, Bwalya anafanya jaribio nje ya 18

Dakika ya 4, Wawa anacheza faulo

26 COMMENTS:

  1. Nduguzangu simba siwaoni hapa vp

    ReplyDelete
  2. Kiko wapi? Oooh sisi wa kimataifa, tuna kikosi kipana, kocha wetu anaujua mpira

    ReplyDelete
  3. Leo hii simba wanashangilia draw,,,na penati juu,,,dk5 nyongeza

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwa hiyo ulitaka tushangilie kufungwa?

      Delete
  4. Simba tujipange na Michezo inayofuata. Point moja si mbaya nafac yetu tunakwenda kuichukua tu

    ReplyDelete
  5. Pamoja na Simba kuwa 12 uwanjani lakini wameshindwa kuwafunga Prisons waliokuwa 10 tu uwanjani

    ReplyDelete
    Replies
    1. Utopolo akili zenu finyu, tafuteni kocha na lipeni madeni madeni kea wachezaji, muda si mrefu tunawabsndua hapo juu

      Delete
  6. Kwani nyie Utopolo mmewafunga Prisons?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hatujawafunga hawajatufunga....kwani nyie vipi?

      Delete
  7. Prisons wanapaswa kujua mpira si kuumizana na hii ni kwa mchezaji wa timu yo yote. Mzamiru angevunjika shingo mchezaji aliyefanya kitendo kile alimmanisha nini kwa binadamu mwenzake?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Labda wana bifu la nje ya uwanja

      Delete
    2. Bifu lisipelekee kumwumiza mtu au kumkatishia juhudi za kupambania maisha yake. Mpira ni ajira.

      Delete
  8. Waulize Coastal Union au Mbeya City?

    ReplyDelete
  9. Kocha namshauri asidharau mechi dakika za lalasalama dhina tisha sana

    ReplyDelete
  10. Kwahiyo mechi ya prison nayo ilikua kwenye zile point za kimahesabu kuwa kilekeni?

    ReplyDelete
  11. Bado Gwambina hawaja chezanao hata mechi Moja, nawasiwasi TFF wataiweka mwishoni Ili isiharibu hesabu za team yao

    ReplyDelete
  12. Bado Namungo FC, Gwambina washacheza mechi moja.

    ReplyDelete
  13. Naona Uto wamekuwa wazungumzaji sana, wenye timu hatuna presha, tuna viporo 3 kabla hatujalingana idadi ya mechi, katika hizo tunarnda kushinda, kudraw na kufungwa bado tunakukalia juu.

    ReplyDelete
  14. Ute bhana huu ndio mpira na polisi mlishangilia bakika za mwishoni na prisons naye dakika za mwishoni

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic