April 22, 2021


 MINO Raiola, wakala wa mchezaji wa Klabu ya Borussia Dortumund, Erling Haalad amesema kuwa timu hiyo haitamuuza mchezaji huyo. 

Raiola amesema kuwa anafahamu mabosi wa mchezaji huyo hawana mpango wa kumuuza Haalad ambaye amekuwa akitajwa kuwekwa kwenye rada za timu kubwa zinazoshiriki Ligi Kuu England.

Miongoni mwa timu ambazo zinatajwa ni pamoja na Manchester United, Chelsea. Liverpool na Manchester City.

Wakala huyo amesema kuwa haliwezi kuwa suala jepesi kwa staa huyo kuondoka kwenye timu anayoitumikia kwa sasa.

"Naheshimu maamuzi yao lakini ipo wazi kwamba klabu yake haitaki kumuuza mshambuliaji huyo kwa sasa," .

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic