VIDEO: KIWANJA CHA SIMBA CHA BUNJU KINADAIWA KODI, WAPEWA SIKU 14
MAHAKAMA imetoa oda kwa Klabu ya Simba kuweza kulipa kodi ya ardhi ndani ya muda wa siku 14 ikiwa watashindwa kufanya hivyo oda imetolewa kwamba mali hiyo ambayo ni kiwanja cha Biunju kinaweza kuuzwa.
Hii ndio Tanzania buana ukishaanza kuonyesha njia ya mafanikio ndipo utasikia figisu figisu za jambo lolote lile zinaanza ili kubalance uhalisia. Sisi mashabiki tumeridhika na mafanikio ya uwekezaji wa MO na hata CAG analitambua hiloo..
ReplyDeleteSimba Nguvu Moja, kamwe hatutatoka nje ya reli! 🦁
Je na eneo letu lile la Kigamboni limelipiwa kodi ya ardhi? Nimekumbuka kumbe ile ni Manispaa tofauti. Basi wasubiri ule mzigo CAF uingie wajilipe kila wanachoona halali yao pamoja na gharama ya kesi inayobaki ndio halali ya Mnyama
ReplyDeleteNa hizi video zenu mbona hamuonyeshi picha za walengwa, inakera kuangalia!
ReplyDeletemilioni ngapi mpaka simba ishindwe?
ReplyDelete