April 24, 2021

 


FT: Gwambina FC 0-1 Simba

Gwambina inayeyusha pointi tatu muhimu mbele ya Simba kwa kufungwa bao 1-0 na kuwafanya wafikishe jumla ya pointi 58.
Dakika 4 zinaongezwa 
Dakika ya 90, Manula anachezewa faulo 
Dakika ya 87, Mzamiru anarejea uwanjani 
Dakika ya 86 Mzamiru anapewa huduma ya kwanza, shabiki wa Simba anaingia uwanjani
Dakika ya 84, Jonas Mkude anaingia anatoka Kagere
Dakika ya 83, Meshack Abraham anatoka anaingia Lwenge
Dakika ya 81 Simba wanapeleka mashambulizi Gwambina 
Dakika ya 74 mashabiki wa Simba wanarusha machupa uwanjani
Dakika ya 74 Gooal na Onyango , goli linafutwa na mwamuzi kwa kile kilichoonesha kwamba mpira wa kona ya Chama ulitoka nje kabla ya kukutana na kichwa cha Onyango
Dakika ya 73 Chama anafanya jaribio nje ya 18 linaokolewa na kipa wa Gwambina 
Dakika ya 70 Mugalu anaingia anatoka Bocco 
Dakika ya 67 Gwambina wanacheza kwa utulivu mkubwa wakiandama lango la Simba, Miraj Saleh anaingia anatoka Rajab Athuman
Dakika ya 64 Makaka anaokoa 
Dakika ya 63 Dilunga anachezewa faulo 
Dakika ya 62 Morrison anatoka anaingia Dilunga 
Dakika ya 60 Gwambina wanapata kona ya nne huku wao wakiwa wamepiga kona moja
Dakika ya 56 Nonga anakosa nafasi ya wazi ndani ya 18
Dakika ya 54 Morrison anachezewa faulo
Dakika ya 53 Nyoni anacheza faulo
Dakika ya 51 Gwambina wanapata kona ya 3
Dakika ya 50 Chama anasepa na mpira, Kagere anakosa utulivu anapaisha
Dakika ya 49 Revocatus Mgunda anaonyeshwa kadi ya njano 
Uwanja wa Gwambina Complex 

Gwambina FC 0-0 Simba

Kipindi cha pili

Kipindi cha kwanza 

Mapumziko 

Zinaongezwa dakika 2

Dakika ya 45 Nonga anamchezea faulo Joash 

Dakika ya 41 Onyango anaanua majalo

Dakika ya 40 Kipa wa Gwambina anapewa huduma ya Kwanza 

Dakika ya 36 Kapombe anachezewa faulo 

Dakikabya 34 Mwanuke anapeleka majalo mbele anazuiwa na Tshabalala 

Dakika ya 33 Chama , Tshabalala,  Chama

Dakika ya 28 Tshabalala Goool

Dakika ya 26 Gwambina wanapeleka mashambulizi kwa Manula

Dakika ya 22 Bocco anafanya jaribio ndani ya 18 linaokolewa na Makaka

Dakika ya 18 Meshack Abraham anachezewa faulo na Nyoni

Dakika ya 17 Onyango anaanua hatari 

Dakika ya 11 Morrison anachezewa faulo 

Dakika ya 9, Nonga anafanya jaribio, Manula anaokoa

Dakika ya 7 Kapombe anamchezea faulo Meshack 

Dakika ya 6 Meshack Abraham mwenye mabao 8 anapeleka mashambulizi Simba

Dakika ya 5, Morrison anapeleka mashambulizi Gwambina


Dakika ya 4 Gwambina wanapata kona ya Kwanza iliyosababishwa na Paul Nonga mwenye mabao matano baada ya Onyango kuanua majalo

3 COMMENTS:

  1. Utopolo pigeni hesabu bado ngapi

    ReplyDelete
  2. Mnyama keshatia mguu ndani na hata ukifanikiwa kuutoa siku ya pili utakuta miguu yote imo nadani na ndio kwaheri ya kuonana

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic