Poulsen amesema kuwa maandalizi kiujumla yalikuwa ni mwanzo wa kujenga timu na imani yake ni kwamba kambi ya pili itakuwa na majibu mazuri zaidi.
Ameweka wazi kwamba mahitaji ya mpira wa leo unahitaji mbinu nyingi ili kujenga timu yenye uwezo katika kusaka ushindi.







Wewe na bench lako la ufundi kaeni tayari kuwajibika manaake mnafanya mtakavyo,mnachaguana kupiga hela nyingi sasa basi.
ReplyDelete