August 2, 2021

 


NYOTA wa timu ya taifa ya Tanzania chini ya miaka 23, leo Agosti 2 ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani.


Kiungo huyo ambaye ni hazina ya taifa la Tanzania alikuwa miongoni mwa kikosi cha U 23 kilichorejea na taji la Cecafa Challenge 2021.


Tanzania ilishinda mbele ya Burundi katika mchezo wa fainali uliochezwa nchini Ethiopia.


Chini ya Kocha Mkuu, Kim Poulsen,  vijana wa U 23 waliweza kutwaa taji hilo ikiwa ni furaha kwa wachezaji na taifa la Tanzania kiujumla.


Kila la kheri mpambanaji wa Tanzania, maisha mema. Mungu azidi kukulinda.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic