VIDEO: YANGA YATAJA KILICHOKUWA KINAWAKWAMISHA, HAJI ATABANWA
HAJI Mboto shabiki wa Yanga amesema kuwa Haji Manara ambaye alikuwa ni Ofisa Habari wa Simba anataka kuelezea namna Simba ilivyokuwa inashinda na ana maelezo kwa namna ambavyo viongozi walikuwa wanafanya ili kushinda hivyo akibanwa ataeleza. Kuhusu usajili amesema kuwa wachezaji ni wazuri ambao wamesajiliwa na Yanga.
Utopolo mtupu
ReplyDeleteWaandishi habar zingine za utopolo na manala wao musiziweke mtandaoni munatuchefua
ReplyDeleteSasa ni bora Yanga mumchukue Manara na apewe hadi milioni 50 kwa mwezi ili Yanga ishinde
ReplyDeleteAkili za utopolo zitawachelewesha sana kwenye mafanikio
ReplyDeleteSimba imechukuwa ubingwa. wa nyumbani na nje kwa uwezo mkubwa wa kujipanga na kushinda. Au wameshinda kwa kununuwa mechi alizozitowa yeye? Asijihangaishe akadhania atapata wafuasi kwani wote ni dhidi yake na huku mnyama akiendelea kukata mbuga
ReplyDeleteubingwa wa nje? dah mikia bhana!!!!
Deletemuliaza na aliekua c o wa simba mkamchukua mkasema simba imeisha leo kaondoka manara mnarejea rejea kilasiku mnyama anazidi kung'ra kimataifa
ReplyDeletecmba inaongozwa kwa vitendo sio usanii mara leo tumemalizana na banda mara kesho tunatangazwa ubingwa kesi ya morrison mnawapumbaza tu washabiki wenu nao wameriziiika
ReplyDeleteNi shauri kabambe Yanga kumchukuwa Manara kwasababu atawapeni siri zote za Simba anzozijuwa alizoaminiwa pamoja na mafaili yake yote
ReplyDelete