YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwa msimu ujao wa 2021/22 kinatarajiwa kuwa na maingizo mapya 7 kikosi cha kwanza huku wengine wakibaki ikiwa ni pamoja na Dickson Job ambaye ni beki. Fiston Abdulazack anatajwa kusepa baada ya dili lake kumeguka.
Mbwembwe nyingiiii
ReplyDeleteUtopolo tunawajua kikosi chao kila msimu wanakitengeneza hawana jipya simba wanamkimbiza mwizi kimya kimya hatuna mbwembwe tunafanya kitu kwa umakini
ReplyDeleteKila mmoja angalie pake waandishi kazi zao kutufikishia habari ,sisi kusoma mpira auna Mambo mengi ukiwekeza kwa kiwango kizuri utakubeba mkiwekeza kwa ubabaishaji mtajibeba
ReplyDelete