March 12, 2015



Hatimaye Floyd Mayweather na Manny Pacquiao wamekutana mara ya kwanza, safari hii kwa ajili ya ‘kazi’.


Wawili hao watakutana katika pambano ghali zaidi la ngumi katika historia ya mchezo huo litakalipigwa Mei 2, mwaka huu.

Kila mmoja alionyesha kujiamini kwamba atafanya vizuri katika pambano hilo na wakasisitiza watu wajitokeze kulishuhudia pambano hilo la kihistoria.

Tayari kila mmoja ameishaanza kujiandaa na pambano hilo na kufanya mazoezi makali. CHEKI MAPICHA.













0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic