Kati
ya wanasoka wa Tanzania ambao wameamua kujitiliza kweli na kuendesha mambo yao ‘kikubwa’,
basi Shekhan Rashid hawezi kutoka kwenye Top 3.
Kiungo
huyo wa zamani wa Simba na Taifa Stars sasa anaishi nchini Sweden ambako
anaendesha maisha yake.
Kiana
Shekhan amekuwa akiendelea kucheza soka, lakini muda mwingi anaonekana yeye ni
kati ya wanaojali familia zao kweli.
Shekhan
anaweza kuwa mfano kwa kuwa muda mwingi anaonekana akijali kuona familia yake,
yaani watoto wake wawili pamoja na mkewe wanakuwa ni watu wenye furaha.
0 COMMENTS:
Post a Comment