![]() |
| MACHUPPA (KULIA) AKIJADILIANA NA WASHIKAJI ZAKE, KAMA ACHUKUE 'NDULA' IPI... Unamkubuka mshambuliaji wa zamani wa Simba, Athumani Machuppa ‘Mani’, sasa anaishi jijini Stockholm nchini Sweden. |
![]() |
| MANI... |
Jana
ametupia picha mtandaoni akionekana anapiga shopping ambayo inaonekana wazi ni
maandalizi ya sikukuu ya Iddi.
Mani
anaonekana akiwa na ‘masela’ wake akipiga shopping katika mitaa maarufu ya
Stockholm ambayo ina maduka mbalimbali yenye ‘pamba’ swaafi.
Ingawa
Mani anaendesha maisha yake kwa kazi, lakini amekuwa akikipiga ili kuonyesha
kuwa hajaisha.










0 COMMENTS:
Post a Comment