March 26, 2016


Baada ya Rais wa Marekani, Barack Obama kusema mabinti zake Malia na Sasha wamekuwa wakitaka kukutana na Lionel Messi, mshambuliaji huyo wa Barcelona, naye amejibu.

Messi amesema naye angefurahi zaidi kukutana na Obama kwa kuwa ni kati ya watu ambao amekuwa na ndoto ya kukutana nao ana kwa ana.

Wiki iliyopita, Obama alisema wanaye wanapenda soka na hasa wamekuwa wakivutiwa zaidi na mshambuliaji huyo raia wa Argentina lakini hakuwa amepata nafasi ya kuandaa jambo hilo.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic