August 18, 2017


Paulinho ametambulishwa rasmi katika kikosi cha Barcelona.

Rais huyo wa Brazil amesajiliwa kwa kitita cha pauni million 36.5 akitokea Guangzhou Evergrande ya China.

Paulinho alikabidhiwa jezi namba 15 nba rasmi akatambulishwa kwa mashabiki huku akicheza na watoto.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic