August 18, 2017


Everton imeitwanga Hajduk Spilit kwa mabao 2-0 na kujiweka katika hatua nzuri ya kufuzu katika hatua ya makundi ya Europa League.

Mabao ya Everton yamefungwa na Michael Keane na Idrissa Gueye katika mechi hiyo ambayo kipindi cha kwanza ilikabiliwa na tafrani kutoka kwa mashabiki wa Hadjuk hadi kusababisha mpira kusimama.


Kipindi cha pili kilikwenda vizuri na hakikuwa na bao hata moja kwa kuwa Everton hawakuweza kuongeza na wageni nao hawakupata bao. Mechi ya marudiano ni Alhamisi ijayo, Everton inayodhaminiwa na SportPesa, itakuwa ugenini.


VIKOSI:
EVERTON (4-2-3-1): Pickford 6.5; Martina 6.5, Keane 7, Williams 6, Baines 6.5; Schneiderlin 6.5 (Davies 46, 6), Gueye 6.5; Mirallas 6.5 (Besic 76), Klaassen 6 (Calvert-Lewin 62, 6), Lookman 7; Rooney 7 
SUBS NOT USED: Stekelenburg, Jagielka, Lennon, Holgate
GOALS: Keane (30), Gueye (45) 
BOOKED: Schneiderlin


HAJDUK SPLIT (4-2-3-1): Stipica 6; Juranovic 6, Nizic 6, Carbonieri 6, Memolla 5.5; Gentsoglou 6 (Toma Basic 85), Radosevic 6, Barry 6; Vlasic 6.5, Ohandza 6 (Said 66, 6), Kozulj 6 (Erceg 66, 6) 

SUBS NOT USED: Letica, Bosancic, Sehic, Tudor
BOOKED: Memolla 
REFEREE: Ivan Kruzliak (Slovakia)



























0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic