BAADA ya kusotea mkwanja wake kwa
muda mrefu, kuna taarifa huenda kocha wa zamani wa Simba akalipwa fedha zake leo.
Kuna taarifa kuna mdau mmoja wa
Simba ameamua kufuta aibu inayoendelea kuisakama klabu hiyo hasa baada ya
viongozi wake kushindwa kumlipa kocha huyo.
Taarifa zinaeleza, huenda Milovan
ambaye anadai dola 32,000 huenda akalipwa leo hii. Salehjembe inaendelea
kufuatilia kwa karibu ili kujua kitu gani kinaendelea hadi mwisho. USIKAE MBALI
0 COMMENTS:
Post a Comment