February 21, 2013




Baada ya kuamka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wao Prisons ya Mbeya jana, mabingwa wa soka Tanzania, Simba wameamua kupasha ‘msuri’ kwa kubaki mjini humo.

Leo jioni, Simba itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya kikosi cha Mbeya City ambacho kimepanda daraja hadi Ligi Kuu Bara msimu ujao.

Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo amethibitisha Simba kubaki Mbeya na kucheza mechi ya kirafiki.

“Tumeamua kufanya mazoezi kidogo, baada ya hapo tutaondoka kurudi Dar. Tunajua hii ni sehemu ya mazoezi nab ado kuna makosa tunaendelea kurekebisha,” alisema Julio.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic