Baada ya kufanikiwa kuing’oa Simba katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Africa, Recreativo de Libolo ya Angola sasa itakutana na El Merreikh ya Sudan.
El Merreikh ni mmoja wa vigogo wa Afrika na hivi karibuni ilikuwa katika harakati za kumnasa Mrisho Ngassa anayekipiga Simba sasa, lakini wakaishia kunawa.
Ingawa
Wasudani hao walikuwa tayari kutoa fedha ili kumchukua kiungo huyo na baada ya
malumbano Simba na Azam FC wanaomliki kufikia mwafaka na kukubali kumuuza,
Ngassa alipotelea kusikojulikana.
Baada ya kuona
wanasumbuka bila ya majibu ya kueleweka, Wasudani hao waliokuwa tayari jijini
Dar es Salaam, waliamua kurejea kwao na kuchukua uamuzi wa kumchukua
mshambuliaji wa zamani wa Simba na APR ya Rwanda, Selemani Ndikumana raia wa Burundi.
zifuatazo ni mechi zote zinazofuata za Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwemo kati ya Libolo na El Merreikh...
0 COMMENTS:
Post a Comment