March 6, 2013

Nyota  wa Man United, Wayne Rooney  akiwaongoza  wenzake  kupasha  misuri moto kabla ya kuanza  kwa mtanange wa ligi ya mabingwa  dhidi ya  Real Madrid  kwenye uwanja wa  old Traffold  jana usiku.
Cristiano Ronaldo akisindikiza wazuni krosi ya Gonzalo Higuan na kuindikia  Real bao la  ushindi kwenye mchezo  wa jana  dhidi ya  United katika  dakika  ya 70.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic