April 21, 2013





Kocha wa Yanga, Ernie Brandts ameshindwa kutokea uwanjani wakati kikosi chake kinapambana na Ruvu JKT sasa.

Imeelezwa Brandts yuko hoi kutokana na ugonjwa wa malaria ambao umesababisha ashindwe kuja mazoezini.

Brandts alitibiwa malaria na kurudi katika hali yake, akarejea kazini na mazoezi.
Lakini leo amezidiwa na msaidizi wake, Fred Felix Minziro ambaye ni msaidizi wake yuko hapa akiendelea kuingoza Yanga katika mechi dhidi ya JKT.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic