April 26, 2013





Jay Z, Beyonce na binti yao wametua jijini Paris, Ufaransa kwa ajili ya shughuli zao.


Lakini wapiga picha wakawashitukia wakati wanaingia kwenye mhagawa mmoja kwa ajili ya kupata chakula.

Wakavamia na kuanza kuwapiga picha, hawakutegemea kuwaona wapiga picha hao baada ya kuwa wameshuka kwenye gari yenye vioo vye kiza.



Pamoja na yote, gumzo kubwa limekuwa ni baada ya picha hizo kuwekwa mtandaoni, kwa kuwa binti huyo anaonekana kufanana zaidi na baba yake kuliko mama.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic