April 19, 2013




FBI imeweka wazi mpango la washukiwa wawili waliohusika na milipuko miwili mjini Boston, Marekani.


Tayari uchunguzi mkali umeanza na picha za washukiwa wawili ambao bado haijajulikana ni raia wa nchi gani, kama ni kutoka barani Ulaya, Asia au Marekani.


Tayari msako umeanza na serikali ya Marekani imetangaza kuwataka wananchi washirikiane nao katika kuwanasa watu hao.
Askari wamekuwa wakiranda kila sehemu wakiwatafuta watu hao na mara kadhaa wametupiana risasi na watu fulani lakini wahusika bado hawajakamtwa.
Mtuhumiwa namba 2
 
Mthumiwa namba 1

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic