Kipigo cha mabao 3-1 ilichokitoa Tottenham Hotspur kwa Man City, maana yake ubingwa uko mikononi mwa Man United .
United iko kileleni na pointi 81, wakati Man City ina pointi 68, maana yake kama United ikishinda na kufikisha pointi 84 itakuwa imejihakikishia kuwa bingwa.
Maana City ikishinda mechi zake tano zilizobaki itakuwa na pointi 83, maana yake ushindi wa mechi moja tu kati ya tano ilizobakiza United ni kitu kinachowezekana.
Katika mechi ya leo, Spurs iliyokuwa nyumbani ilionekana kwua moto wa kuotea mbali.












0 COMMENTS:
Post a Comment