May 4, 2013



Televisheni maarufu ya nchini Ufaransa ya L'Equipe 21  imetangaza kuwa wakala wa mshambuliaji kinda wa PSG, Verratti amefanya mazungumzo na Real Madrid jana.

Donato di Campli alikuwa jijini Madrid kukutana na uongozi wa klabu hiyo na kujadili suala hilo la Verratti kutua Madrid.

Verratti mwenye miaka 20 ni kari ya wachezaji wanaotegemewa sana na Kocha Mkuu wa PSG, Carlo Ancelotti lakini inaonekana Madrid wamepania kumtwaa kwa ajili msimu ujao.

Kinda huyo amekuwa tishio msimu huu pamoja na umri wake mdogo na amekuwa msaada mkubwa kwa Ancelotti.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic