May 17, 2013




Beki Gerard Pique na kiungo Alex Song wameonekana wanazichapa mbele ya mshabiki wa Barcelona.



Wawili hao walikuwa kama wanataniana lakini hali ilionekana kuzidi kuwa mbaya wakati Song alipomchapa kofi Pique.


Ingawa taarifa nyingine zimeeleza ulikuwa ni utani lakini nahodha Puyol na kipa Valdes walionekana kufanya kazi ya ziada kuamua.


Bado Barcelona haijazungumza kuhusiana na suala hilo ambalo limewashangaza wengi kwa kuwa Barcelona walikuwa kwenye basi kufurahia ubingwa wao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic