June 3, 2013



Kocha Jose Mourinho amesaini mkataba wa miaka minne ya kuifundisha Chelsea.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chelsea, Ron Gourlay amesema: “Ninayofuraha kubwa kumkaribisha Jose. Tunaamini ataendeleza mbio zake za mafanikio, ni lengo letu kuipa mafanikio zaidi klabu hii, Jose ndiye chaguo letu la kwanza na tuna muamini.

“Ameendelea kuwa kipenzi cha wengi klabuni hapa, kila mtu anategemea makubwa kutoka kwake.”

Mourinho ametua na makocha wengine wasaidizi Rui Faria, Silvino Louro na Jose Morais.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic