June 3, 2013




KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amegusia juu ya kumsajili mshambuliaji Wayne Rooney wa Manchester United.

Wenger ameamua kuweka wazi hisia zake hizo kutokana na mchezaji huyo kutokuwa na dalili ya kuendelea kuichezea timu hiyo, ambapo pia anawaniwa na Chelsea, Paris Saint-Germain na Bayern Munich.

Wenger amenukuliwa akisema: “Rooney ni mchezaji mzuri kwa yeyote, nani ambaye hataki kuwa naye? Itategemea na kile ambacho atakuwa anakihitaji lakini ikiwezekana tutamsajili.”

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic