June 11, 2013


Mshambuliaji Luis Suarez wa Liverpool ameonyesha kwa mara nyingine kwamba anataka kuondoka Anfield.

Kama hiyo haitoshi, Suarez amesisitiza anataka kucheza timu moja na Cristiano Ronaldo.

Kauli hiyo ya Suarez, maana yake anataka kuondoka Liverpool na kutua Real Madrid ambayo imeonyesha nia ya kutaka kumchukua.

Pamoja na kauli hiyo, Suarez amekuwa akilaumu vyombo vya habari vya England kumyima raha kwa kumuandama mara kwa mara.


Wakati vyombo hivyo vya habari vimekuwa vikimuelezea kama mchezaji asiyejitambua kutokana na kufanya vituko vingi vya kitoto.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic