July 5, 2013





Fainali ya mchezo wa tenisi ya Wimbeldon Jumapili itakuwa kati ya Andy Murray dhidi ya Novak Djokovic.
Murray ameingia fainali baada ya kuibuka na ushindi katika nusu fainali ya pili dhidi ya Jerzy Janowicz.

Nusu fainali hiyo ya pili ya Waingereza tupu, ilimalizika kwa Murray kushinda kwa seti 6-7, 6-4, 6-4, 6-3.

Kabla Djokovic raia wa Serbia alikuwa amemshinda Del Porto kwa seti 7-5, 4-6, 7-6, 6-7, 6-3.

Mwisho wa ubishi utakuwa ni Jumapili na wawili hao wamekuwa na upinzani mkali wanapokutana.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic