Muda mchache
baada ya Barcelona kuthibitisha aliyekuwa kocha wake, Tito Vilanova ameachia
ngazi, jina la kocha mpya limetangazwa.
Joan Francesc
Ferrer ametangazwa kuwa kocha mpya wa Barcelona ingawa uongozi bado
haujathibitisha ila imeelezwa ndiye amefanya mazungumzo na uongozi wa Barcelona.
Rais wa Barcelona, Sandro Rosell alithibitisha kuachia ngazi kwa Vilanova ili aendelee na matibabu ya ugonjwa wa kansa.
Vilanova alichukua nafasi ya Pep Guardiola aliyekuwa bosi wake kabla ya kuamua kujiunga na Bayern Munich ambayo ndiyo anaitumikia.
Imeelezwa hali ya Vilanova kuachia kazi kwa kushtuka kutokana na uamuzi huo wa Vilanova ambaye kuna wakati aliwaacha na kwenda kutibiwa nchini Marekani.
Rais wa Barcelona, Sandro Rosell alithibitisha kuachia ngazi kwa Vilanova ili aendelee na matibabu ya ugonjwa wa kansa.
Vilanova alichukua nafasi ya Pep Guardiola aliyekuwa bosi wake kabla ya kuamua kujiunga na Bayern Munich ambayo ndiyo anaitumikia.
Imeelezwa hali ya Vilanova kuachia kazi kwa kushtuka kutokana na uamuzi huo wa Vilanova ambaye kuna wakati aliwaacha na kwenda kutibiwa nchini Marekani.









0 COMMENTS:
Post a Comment