July 10, 2013



 
Kocha mpya wa Manchester City, Manuel Pellegrini amemchukua na kumuweka kwenye kikosi cha kwanza mtoto wa mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo Andy Cole.


Cole junior, 18, amepata nafasi hiyo ya kuungana na Man City katika ziara yake kujiandaa na msimu mpya.

Ziara hiyo nchini Afrika Kusini, itaanza Julai 14 na Man City itacheza na Supersport mjini Pretoria kabla ya kuivaa AmaZulu katika mji wa ufukweni wa Durban, siku nne baadaye.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic