July 18, 2013


 
Mshambuliaji wa Man United, Robin van Persie ameonyesha si mkali wa kupachika mabao pekee, badala yake hata katika mpira wa meza maarufu kama table tennis au ping pong.

Van Persie alifanikiwa kuonyesha ujuzi baada ya kumshinda beki kisiki wa United, Rio Ferdinand.

Wawili hao walicheza mchezo huo wakati wakiwa kambini nchini Australia ambako Manchester United iko katika ziara ya kujiandaa na msimu mpya.
Katika mchezo huo, van Persie aliibuka na ushindi wa pointi 11-9 dhidi ya Rio ambaye alianza kwa kasi lakini akapozwa taratibu.No looking: Robin van Persie and Rio Ferdinand play table tennis in Australia

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic