August 15, 2013


Arsene Wenger anaonekana kweli ni sugu, kwamba katika kipindi cha usajili ameacha wachezaji 17 waondoke katika kikosi hicho na kusajili mmoja tu.

Mmoja aliyemsajili ni kinda Yaya Sanogo ambaye pia ni majeruhi, hivyo timu haikuongeza mchezaji hata mmoja mwenye uzoefu.


Hofu kubwa kwa mashabiki wa Arsenal ni katika mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu England dhidi ya Aston Villa itakayochezwa Jumamosi.



KIKOSI KIKO HIVI LAKINI BADO KUNA HOFU PIA YA MAJERUHI…


Kipa: Szczesny, Fabianski.
Mabeki: Mertesacker, Koscielny, Jenkinson, Gibbs, Vermaelen (majeruhi), Monreal (majeruhi), Sagna (i majeruhi).
Midfielders: Rosicky, Oxlade-Chamberlain, Wilshere, Ramsey (hakuna uhakika), Cazorla (safari ndefu kutoka Ecuador), Arteta (i majeruhi), Diaby (majeruhi), Frimpong*, Miyaichi (majeruhi).
Forwards: Podolski, Giroud, Walcott, Sanogo (majeruhi), Park*, Bendtner*.

*hawajawahi kuwa na nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza mara kwa mara

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic