September 27, 2013


CHUJI KATIKA MAZOEZI YA LEO

Baada ya ruhusa ya siku mbili, kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ amerejea katika mazoezini ya kikosi cha Yanga.


Chuji alifanya mazoezi na wenzake leo kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Mabibo jijini Dar.


Mazoezi hayo yalikuwa ya misho kabla ya Yanga kuivaa Ruvu Shooting, kesho jijini Dar.

Kiungo huyo alipewa ruhusa ya siku mbili kwenda mjini Mpwapwa mkoani Dodoma kumzika shangazi yake.


Kuhusiana na kucheza, inaonekana kesho Kocha Ernie Brandts atampanga kinda Frank Domayo kwa kuwa kiungo huyo mkongwe hakuwa na wenzake kwa siku mbili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic