September 15, 2013


Mshambuliaji mpya wa Monaco, Radamel Falcao amefunga bao la mkwaju wa penalti na kuipa timu yake nafasi ya kukaa kileleni kwa Ligi Kuu Ufaransa.



Mshambuliaji mpya wa Monaco, Radamel Falcao amefunga bao la mkwaju wa penalti na kuipa timu yake nafasi ya kukaa kileleni kwa Ligi Kuu Ufaransa.


Falcao alifunga bao hilo na kuipa Monaco ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Lorient, leo.

Falcao, alijiunga na Monaco akitokea Atletico Madrid ya Hispania kwa dau la pauni milioni 51.

Monaco iko kileleni baada ya kufikisha pointi 13 katika mechi tano na nafasi ya pili wako St Etienne, wakati wapinzani wao wakubwa Paris St Germain (PSG) baada ya kuifunga Girondins Bordeaux 2-0.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic