November 29, 2013





Kiungo mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars, Mrisho Ngassa, ametengeneza staili mpya ya nywele atakayoitumia kwenye Michuano ya Kombe la Chalenji inayofanyika nchini Kenya.


Nyota huyo mwenye kasi uwanjani akiwa amenyoa staili ya kiduku huku pembeni akiwa amepaka ‘brichi’ ya rangi ya khaki wakati Stars ikiivaa Zambia na kutoka nayo sare ya bao 1-1.

Ngassa ambaye amezoeleka kuonekana akiwa amenyoa kiduku muda mwingi, sasa hivi ameamua kuongeza mvuto zaidi kichwani mwake kwa kuweka rangi hizo.

Pamoja na Ngassa kupaka rangi  wachezaji wengine wa Stars, Said Morad na Kelvin Yondani walikuwa wamepaka rangi hizo pia.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic