Ronaldo ameonyesha
yeye ni kati ya wachezaji wakubwa na muhimu baada ya kuifungia Ureno bao pekee
katika mechi ya mtoano kuwania kucheza Kombe la Dunia dhidi ya Sweden iliyokuwa
inaongozwa na Zlatan Ibrahimivic.
Ureno
imeshinda bao 1-0 na hivyo inasubiri mechi ya marudiano wiki ijayo nchini
Sweden.
Angalau
Ureno ambayo katika michezo ya kuwania kucheza Kombe la Dunia ilikuwa
inasuasua, imeamsha matumaini.
Ronaldo alifunga
bao hilo katika dakika ya 83 huku wengi wakiwamini mpira ulikuwa umemalizika
kwa sare ya bila kufungana.
Wareno
wengi walikuwa na hofu kwa kuwa Sweden walionekana kuwa bora zaidi na
walishambulia na kukosakosa zaidi.
Maana yake,
lazima Wareno wacheze vizuri zaidi wakiwa ugenini ili kujihakikishia kusonga
hadi Kombe la Dunia.
Portugal: Patricio, Pereira, Coentrao, Veloso, Pepe, Regufe Alves, Meireles (Josue, 78), Moutinho, Postiga (Almeida, 66), Nani, Ronaldo
Subs not used: D Carvalho, R Carvalho, Pereira, Na Bangna, Moreira
da Costa, Neto, Varela, Antunes, Bastos Pimparel, Macedo Lopes
Goal: Ronaldo 82
Booked: Pereira, Ronaldo
Sweden: Isaksson, Lustig, Olsson,
Elm (Wernbloom, 72), Nilsson, Antonsson, Larsson, Kallstrom (Svensson, 77),
Ibrahimovic, Elmander (Gerndt, 88), Kacaniklic
Subs not used: Olsson, Wiland, Granqvist, Bengtsson,
Johansson, Toivonen, Durmaz, Zengin, Nordfeldt
Booked: Larsson, Elmander
Ref: Nicola Rizzoli
0 COMMENTS:
Post a Comment