Mcheza
gofu maarufu duniani, Tiger Woods ameweka rekodi ya kupiga mpira kutoka bara
moja kwenda lingine.
Woods
alifanya hivyo wakati wa ufunguzi wa michuano ya Tukish Airline kwa kupiga
mpira kutoka Asia kwenda Ulaya kupitia daraja la Bosporus.
Michuano
inafanyika katika mji wa kitalii wa Antalya Kusini mwa Uturuki.
Daraja
hilo maarufu kwa kuwa ndiyo linatenganisha mabara ya Asia na Ulaya.
0 COMMENTS:
Post a Comment