November 6, 2013






Mcheza gofu maarufu duniani, Tiger Woods ameweka rekodi ya kupiga mpira kutoka bara moja kwenda lingine.
 
Woods alifanya hivyo wakati wa ufunguzi wa michuano ya Tukish Airline kwa kupiga mpira kutoka Asia kwenda Ulaya kupitia daraja la Bosporus.



Michuano inafanyika katika mji wa kitalii wa Antalya Kusini mwa Uturuki.
Daraja hilo maarufu kwa kuwa ndiyo linatenganisha mabara ya Asia na Ulaya.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic