Fulham imemfuta
kazi kocha wake Martin Jol na hiyo inatokana na kipigo cha jana kutoka kwa West
Ham, jana.
Fulham
imepoteza mechi sita mfululizo hali iliyosababisha uongozi wa Fulham kumtupia
virago vyake.
Uongozi wa
klabu hiyo umetangaza Rene Meulenstee, huyu alikuwa ni msaidizi wake ambaye
sasa anakuwa bosi.
Dalili
zilianza kuonyesha kuanzia wiki iliyopita kuwa kocha huyo mzoefu safari ilikuwa
imemkuta.
0 COMMENTS:
Post a Comment