December 19, 2013

Mshambuliaji Emmanuel Okwi  dakika chache baada ya kutua kwenye Uwanja wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JINA), leo.


Kwa mara ya kwanza historia imenaidikwa baada ya Okwi aliyekuwa mchezaji kipenzi zaidi cha mashabiki wa Simba, kujiunga na Yanga na hapa anaonekana akiwa amevaa jezi ya rangi za njano na kijani za Yanga.
Hapa Okwi akiwa na wajumbe wa kamati ya utendaji ya Yanga, Abdallah Bin Kleb na Katabaro aliyeshughulikia usajili wake kwa karibu sana.
Viongozi hao walikuwa kati ya waliojitokeza kumpokea wakati amewasili dakika chache zilizopita.
Sasa msafara bado uko njiani na kuna taarifa huenda wakapita klabu au la. Endelea kufuatilia.


2 COMMENTS:

  1. karibu sana ila inabidi ufanye kazi kwa bidii ili uisaidie yanga kimataifa

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic