December 14, 2013



Hatimaye beki kisiki wa Simba, Joseph Owino amerejea nchini.
Owino raia wa Uganda ametua nchini jana akitokea kwao Uganda.
 
Awali Kocha Logarusic alilalama kuhusiana na kuchelewa kwa wachezaji watatu, Amissi Tambwe, Owino na Gilbert Kaze ‘Demunga’.


Kocha huyo ameishatishia kuwakata mshahara na tayari amesema atapeleka pendekezo lake kwenye kamati ya ufundi na nidhamu.

Hata hivyo, Owino alionekana ni mwenye furaha na aliye tayari kuanza kazi kujiandaa na mechi ya Nani Mtani itakayopigwa Novemba 21.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic