January 29, 2014


Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdi Kassim, jana aliikoa timu yake ya UITM FC baada ya kufunga bao la kusawasisha katika dakika ya 90.


Kikosi cha timu yake kilikuwa kimetota baada ya wapinzani wao JDT II kupata bao mapema na ilionekana kama ndiyo mambo yamekwama.

Lakini bao la kiufundi la Kassim maarufu kama Babi, liliisaidia timu yake hiyo kutoka na pointi moja uwanjani katika ligi ya Malaysia.


Tayari Babi, amekuwa tegemeo katika kikosi cha timu hiyo na wamekuwa wakimtumia kama mchezesha timu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic