January 9, 2014


Wagosi wa Kaya, Coastal Union wameondoka leo kwenda Oman kuweka kambi kujiandaa na Ligi Kuu Bara.


Coastal Union wameondoka leo mchana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar wakiwa na kikosi chao kamili.



Kivutio zaidi ilikuwa ni namna baadhi ya matenga ya nyanya ambayo walibeba uwanjani hapo.

Haikujulikana mara moja kama Coastal watakuwa wakipiga wenyewe watakapokuwa jijini Muscat au ni zawadi.

Lakini wachezaji wake walionekana kuwa fiti na tayari kwa ajili ya kambi hiyo nchini Oman.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic