January 9, 2014

WACHEZAJI WA YANGA LEO ALFAJIRI KABLA YA KUONDOKA JIJINI DAR KWENDA UTURUKI, HAPA WALIKUWA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE.

Mabingwa wa soka Tanzania, Yanga wametua salama katika mji wa Antalya nchini Uturuki.

Yanga imewasili mjini humo leo jioni ikitokea Dar es Salaam kupitia Istambul.
Kikosi hicho chenye wachezaji 27 na maofisa 23, kinatarajia kuanza mazoezi kesho.
BAHANUZI

KAVUMBAGU


TEGETE

Baadhi ya wachezaji wamesema wamefika salama lakini walikuwa wakisumbuliwa na uchovu wa safari.

Yanga itakuwa mjini humo kuweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na Ligi Kuu Bara pamoja na michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Hii ni mara ya pili kwa misimu miwili mfululizo Yanga kuweka kambi mjini humo ingawa ni sehemu tofauti.

Ilifanya hivyo ikiwa chini ya Kocha Ernie Brandts na iliporejea nchini ikatwaa ubingwa wa Tanzania Bara.
MSEMAJI, KIZUGUTO

NIZAR

MKWASA NA TWITE

KIIZA NA CANNAVARO

CANNAVARO, KIIZA&OKWI

NGASSA 'ANKOL'

DOMAYO NA 'MFANYABIASHARA' JOSHUA 


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic