January 9, 2014


Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema sasa yuko katika wakati mzuri kuanza kuwasuka washambuliaji.


Logarusic amesema amekuwa katika wakati wa kuwasuka mabeki kuhakikisha anakuwa na safu imara ya ulinzi.

“Lakini sasa naweza kufanya kazi ya viungo na washambuliaji kwa kuwa tayari nina imani na safu ya ulinzi,” alisema.

Logarusic alisema ana imani baada ya muda mfupi, safu yake ya ulinzi itaanza kuwa tishio kwa kuwa ina washambuliaji wazuri lakini wanahitaji mafunzo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic