January 9, 2014




Mshambuliaji nyota Robert Lewandowski ameamua kumuajiri mlinzi maalum wa kumlinda dhidi ya mashabiki wa timu yake ya zamani ya Borussia Dortmund.
 
Mshambuliaji huyo amekuwa adui wa mashabiki wa Dortimund baada ya kujiunga na wapinzani wao Bayern Munich.
Kutokana na maneno ya hasira kutoka kwa mashabiki hao na siku zinasonga kabla ya timu hizo kukutana, mshambuliaji huyo amesisitiza atakodi mlinzi.
Taarifa zinaeleza kuwa  Lewandowski ameonywa kuwa na uhakika na sehemu anazotembelea hasa kipindi hiki mashabiki hao wa BVB wakiwa bado na hasira kutokana na kuhama kwake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic