January 9, 2014



AKIWA NDANI YA VAZI HILO

Beki wa Manchester United, Chris Smalling ameomba radhi kutokana na kuonekana akiwa amevaa vazi kama mtu anayetaka kujilipua.
 
Smalling alionekana akiwa na vazi hilo katika gazeti la The Sun la Alhamisi.
SMALLING AKIWA KAZINI NA MAN UNITED

Inaelezwa picha hiyo ilipigwa akiwa nyumbani kwake katika sherehe ambayo watu walikuwa wakivaa mavazi ya kutanianiana.
Hivyo alisisitiza hakuwa siriaz, lakini akaomba asamehewe kama aliwakwaza baadhi ya watu kutokana na vazi hilo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic