January 26, 2014

 
OWINO
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic amesema beki wake, Joseph Owino hataanza kwenye kikosi cha leo.

Logarusic amesema Owino alionyesha utovu wa nidhamu kwa kuondoka mazoezini na siku iliyofuata hakurudi.
“Sitampa nafasi katika mechi ya leo, kama atarudi siku nyingine atazungumza. Musoti na Gilbert (KAze) ndiyo wataanza leo,” alisema.

Simba inaivaa Rhino ya Tabora kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, leo

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic